Mon, 16 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kiungo wa Brighton na timu ya taifa Zambia Enoch Mwepu jana Januari 15, 2023 alikimbizwa hospitali baada ya kuanguka kwa kile kinachohisiwa kuwa mshtuko wa moyo.
Aliyekuwa kiungo wa Brighton na timu ya taifa Zambia Enoch Mwepu jana Januari 15, 2023 alikimbizwa hospitali baada ya kuanguka kwa kile kinachohisiwa kuwa mshtuko wa moyo. Mwepu (25) raia wa Zambia alilazimika kutundika daluga akiwa na umri wa miaka 24 tu baada ya kupatwa na tatizo la moyo lisilo la kawaida.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live