Thu, 21 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha Wolverhampton, Nuno Espírito Santo ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Nottingham Forest akichukua mikoba ya Steve Cooper aliyeoneshwa mlango wa kutokea kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo.
Aliyekuwa kocha Wolverhampton, Nuno Espírito Santo ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Nottingham Forest akichukua mikoba ya Steve Cooper aliyeoneshwa mlango wa kutokea kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo. Nuno (49) raia wa Ureno ambaye pia amewahi kuinoa Tottenham Hotspur na Al Ittihad ya Saudi Arabia amesaini mkataba mpaka 2026.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live