Tue, 19 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Nottingham Forest inatazamiwa kumteua mkufunzi wa zamani wa Wolves na Tottenham, Nuno Espirito Santo siku chache zijazo, huku Mreno huyo mwenye umri wa miaka 49 akichukua nafasi ya meneja wa sasa Steve Cooper.
Klabu ya Nottingham Forest inatazamiwa kumteua mkufunzi wa zamani wa Wolves na Tottenham, Nuno Espirito Santo siku chache zijazo, huku Mreno huyo mwenye umri wa miaka 49 akichukua nafasi ya meneja wa sasa Steve Cooper.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live