Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika wa Liverpool Darwin Nunez amegongesha mwamba wa goli mara tisa (9) msimu huu.
Straika wa Liverpool Darwin Nunez amegongesha mwamba wa goli mara tisa (9) msimu huu. Mara nyingi zaidi katika rekodi za Ligi Kuu England kwa msimu tangu Robin van Persie alipofanya hivyo 2011-12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live