Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Said Ntibazonkiza ndiye kinara wa kupachika magoli kwa Simba SC mpaka sasa kwenye NBC Premier League msimu huu.
Ameshafunga magoli matano na assist mbili akifuatiwa na Clatous Chama ambaye anamagoli manne na assist tano.
Je leo ataendelea kutupia tena?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live