Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shakhtar imetaja kikosi cha wachezaji 33 watakachocheza Uefa msimu huu wa 2023/24 huku jina la nyota wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi likiwa sehemu ya nyota hao.
Katika michuano ya UEFA 2023/24 bendera ya Tanzania itakuwa ikionekana pindi Shakhtar itakapokuwa ikishuka dimbani.
Hongera Nova, Tanzania inajivunia wewe, watanzania wanakuangalia, ipeperushe vyema champion.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live