Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Christopher Nkunku amerejea kwenye orodha ya wachezaji majeruhi na anafanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.
Christopher Nkunku amerejea kwenye orodha ya wachezaji majeruhi na anafanyiwa uchunguzi wa kimatibabu. Kocha wa Chelsea Mauricio Pochettino amesema mchezaji huyo anatarajiwa kukosekana kwa kipindi cha wiki tatu mapaka wiki nne.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live