Fri, 10 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Akiwa na kikosi cha Matajiri wa Lubumbashi, Lubumbashisport Abdallah Shaibu 'Ninja' ametokea kwenye kikosi bora cha nusu msimu Cha Ligi kuu DRC.
Akiwa na kikosi cha Matajiri wa Lubumbashi, Lubumbashisport Abdallah Shaibu 'Ninja' ametokea kwenye kikosi bora cha nusu msimu Cha Ligi kuu DRC. Nyota huyo tangu ametua kikosini hapo amekua na kiwango bora hali ya kumfanya aingie kwenye kikosi Cha kwanza na kuisaidia miamba hiyo kua katika nafasi ya tatu nyuma ya Lupopo na Mazembe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live