Mon, 3 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi Abdallah Haji Shaibu (Ninja) tayari amefikia makubaliano ya kuitumikia Kagera Sugar kuelekea msimu ujao.
Inaelezwa amesaini mkataba wa muda wa miaka miwili na Kagera Sugar .
Ninja alimaliza muda wake wa kuitumikia Yanga na kuwa mchezaji huru lakini kagera waliipambania saini yake tangu alipomaliza muda wake Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live