Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa Nigeria ‘Super Eagles’ imepata ushindi wa kwanza wa mechi za kirafiki baada ya miaka mitano kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya Msumbiji.
FT: Nigeria 3-2 Msumbiji
Nigeria ⚽ Terem Moffi - 19’ ⚽ Frank Onyeka - 30’ ⚽ Moses Simon (pen) - 45+3’
Msumbiji ⚽ Catamo - 6’ ⚽ Bangal - 55’
Msumbiji imeendelea kuwa mteja mbele ya Nigeria ikishindwa kupata ushindi baada ya mechi tano, vipigo vinne na sare moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live