Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Brentford na timu ya Taifa ya Nigeria Frank Onyeka anaamini nchi zingine zinaogopa kukutana na Nigeria katika michuano ya AFCON kutokana na vipaji walivyonavyo kwasasa.
Frank Onyeka anaamini kuwa timu ya Nigeria itabeba kombe lijalo huko nchini Ivory Coast kutokana na mkusanyiko wa vipaji vingi uliopo.
Unadhani ni kweli Nigeria watabeba kombe lijalo la AFCON
Chanzo: www.tanzaniaweb.live