Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkufunzi, Nicolas Dupuis ameteuliwa kuwa kocha mkuu ya timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwa mkataba wa miaka mitatu mpaka 2026.
Mkufunzi, Nicolas Dupuis ameteuliwa kuwa kocha mkuu ya timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwa mkataba wa miaka mitatu mpaka 2026. Dupuis (55) raia wa Ufaransa aliiongoza Madagascar kufuzu AFCON kwa mara ya kwanza katika historia ya Nchi hiyo mnamo 2019 na kuifikisha robo fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live