Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 90 za mtanange wa kusaka mshindi wa wa tatu wa michuano ya Ngao Ya Jamii zimemalizika katika dimba la Mkwakwani Tanga kwa wanalambalamba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Mabao ya Singida FG yamefungwa na Prince Dube dakika ya 1 na Abdul Suleimani 'Sopu' dakika ya 41.
Hivyo rasmi Klabu ya Azam Fc imefanikiwa kuwa mshindi wa tatu wa michuano ya Ngao Ya Jamii 2023 Tanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: