Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambualiaji wa Kimataifa wa Brazil Neymar Jr atakosa michuano ya Copa America 2024 kutokana na majeraha yatakayomueka nje hadi mwezi Agosti 2024, amethibitisha daktari wa Brazil Lasmar.
Mshambualiaji wa Kimataifa wa Brazil Neymar Jr atakosa michuano ya Copa America 2024 kutokana na majeraha yatakayomueka nje hadi mwezi Agosti 2024, amethibitisha daktari wa Brazil Lasmar. Hili ni pigo kubwa kwa Mashabiki wa Brazil kuelekea Michuano hiyo mikubwa ya Bara la Amerika Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live