Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa PSG ambaye kwa sasa anakipiga katika ‘timu’ ya Al-Hilal ameshangazwa na baada ya kuona hali ya uwanja wa Azad kutoka nchini Iran, wakati ‘klabu’ yake ikijianda kuingia dimbani na ‘timu’ ya Nassaji Mazandaran FC katika mchezo wa ‘Ligi’ ya Mabingwa ya Asia (AFC).
Video hiyo imesambaa kupitia mtandao wa X ikionesha watengenezaji wa uwanjwa wakiweka nyasi katika zege kitendo ambacho kilimshangaza mchezaji huyo na kuandika kuwa “hii haiwezekani” ambapo alimalizia kwa emoji ya kucheka.
Tazama Video hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live