Mon, 5 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Neymar anaonekana kuwa na ndoto za kubeba Kombe la Dunia mwaka huu zinazopigwa nchini Qatar.
Neymar ameonekana akiwa ameweka Wallpaper ya Kombe hilo kwenye simu yake. Brazil leo itajitupa uwanjani kuchuana na Korea kwenye hatua ya 16 Bora.
Brazil ni miongoni mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kunyakua Ubingwa huo mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live