Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Al Hilal na Timu ya Taifa ya Brazil Neymar Jr alifanyiwa upasuaji wa cruciate ligament mapema leo asubuhi.
Staa wa Al Hilal na Timu ya Taifa ya Brazil Neymar Jr alifanyiwa upasuaji wa cruciate ligament mapema leo asubuhi. Upasuaji huo ulifanywa na daktari wa timu ya Brazil, Rodrigo Lasmar. Operesheni ilifanikiwa na hakuna changamoto iliyojitokeza wakati wa zoezi hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live