Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Al Hilal, Neymar Jr raia wa Brazil, ameanza mazoezi mepesi ya kurudisha utimamu wa mwili wake baada ya kuwa nje kwa zaidi ya miezi minne
Mshambuliaji wa Al Hilal, Neymar Jr raia wa Brazil, ameanza mazoezi mepesi ya kurudisha utimamu wa mwili wake baada ya kuwa nje kwa zaidi ya miezi minne Neymar Jr anatarajiwa kurudi Dimbani mwezi Julai Mwaka huu baada ya kupata majeraha mwaka jana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live