Sat, 24 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vyanzo kutoka nchini Brazil na Spain vinaarifu kuwa Mchezaji wa klabu ya Al Hilal Saudi raia wa Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior amelinunua deni la mchezaji wa zamani wa Klabu ya FC Barcelona, Dani Alves aliyehukumiwa kifungo Cha miaka 4 na nusu.
Alves alihukumiwa juzi nchini Hispania mara baada ya kukutwa na hatia ya Makosa ya unyayasaji kingono.
Alves mbali na kufungwa jela anatakiwa alipe kiasi Cha €150K, Neymar Jr amelinunua deni Hilo na atalitoa yeye mwenyewe ndani ya masaa 72 yajayo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live