Sun, 13 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao pekee la mshambuliaji wa England, Joseph George Willock dakika ya 67 jana liliipa Newcastle United ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea FC Uwanja wa St. James' Park Jijini Newcastle upon Tyne.
Bao pekee la mshambuliaji wa England, Joseph George Willock dakika ya 67 jana liliipa Newcastle United ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea FC Uwanja wa St. James' Park Jijini Newcastle upon Tyne. Kwa ushindi huo, Newcastle United inafikisha pointi 30 katika mchezo wa 15 na kusogea nafasi ya tatu, wakati Chelsea inabaki na pointi zake 21 za mechi 14 nafasi ya nane.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live