Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Newcastle United inafikiria kuwashangaza watu kwenye usajili wa dirisha hili kwa kumsajili beki wa kati wa Juventus, Leonardo Bonucci, 36, kwa ajili ya kuongeza uzoefu kwenye kikosi.
Newcastle United inafikiria kuwashangaza watu kwenye usajili wa dirisha hili kwa kumsajili beki wa kati wa Juventus, Leonardo Bonucci, 36, kwa ajili ya kuongeza uzoefu kwenye kikosi. Bonucci ni miongoni mwa mabeki wenye uzoefu mkubwa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, hivyo inaaminika kwamba uwepo wake utaongeza kitu kwenye kikosi cha Newcastle msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live