Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu za Newcastle United na Bayern Munich kila moja imepanga kumnasa Mlinzi wa kushoto wa Arsenal Oleksandr Zinchenko na huku The Gunners wamesema wanataka euro 38.5m (£32.9m) kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ukraine ili waweze kumuachia.
Timu za Newcastle United na Bayern Munich kila moja imepanga kumnasa Mlinzi wa kushoto wa Arsenal Oleksandr Zinchenko na huku The Gunners wamesema wanataka euro 38.5m (£32.9m) kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ukraine ili waweze kumuachia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live