Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afisa Habari na Mawasiliano TFF, Clifford Mario Ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Young Africans (Tanzania) vs CR Belouizdad (Algeria) utakaochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Februari 24, 2024.
Afisa Habari na Mawasiliano TFF, Clifford Mario Ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Young Africans (Tanzania) vs CR Belouizdad (Algeria) utakaochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Februari 24, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live