Fri, 16 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa SBS, Said Ndemla ameongezwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kitakachocheza mechi mbili za kirafiki nchini Libya.
Kiungo wa SBS, Said Ndemla ameongezwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kitakachocheza mechi mbili za kirafiki nchini Libya. Kocha Mkuu wa Stars, Hanour Janza amethibitisha kumuongeza Ndemla kutokana na ubora aliouonyesha kwenye siku za hivi karibuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live