Mon, 27 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waliokuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia msimu uliopita klabu ya SSC Napoli haitashiriki mashindano yoyote ya ulaya msimu ujao.
Waliokuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia msimu uliopita klabu ya SSC Napoli haitashiriki mashindano yoyote ya ulaya msimu ujao. SSC Napoli wamekutana na mkasa huo mara baada ya kumaliza ligi katika nafasi ya 10 na hii inatajwa huenda ikawafanya baadhi ya nyota wao muhimu kuondoka kikosini humo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live