Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Napoli ya nchini Italia imeonyesha nia ya kumuajiri kocha wa kimataifa wa England Graham Potter ili kuwafundisha mabingwa hao watetezi wa Serie A.
Klabu ya Napoli ya nchini Italia imeonyesha nia ya kumuajiri kocha wa kimataifa wa England Graham Potter ili kuwafundisha mabingwa hao watetezi wa Serie A. Tatizo ni kuwa kocha huyo wa zamani wa Brighton na Chelsea anaamini anaweza kuchukua mikoba ya kocha wasasa wa Manchester United Erik ten hag endapo ataondoka (muda wowote).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live