Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Kimataifa wa Gambia, Pa Omar Jobe kama Mchezaji huru baada ya kuachana FC Zhenis ya Kazakhstan.
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Kimataifa wa Gambia, Pa Omar Jobe kama Mchezaji huru baada ya kuachana FC Zhenis ya Kazakhstan. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa Miaka 25 amewahi kuwa sehemu ya Kikosi cha Gambia
Chanzo: www.tanzaniaweb.live