Thu, 5 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Namungo FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Chipukizi katika mchezo wa Kundi D Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Timu ya Namungo FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Chipukizi katika mchezo wa Kundi D Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Sasa Namungo FC watalazimika kushinda mechi ya mwisho dhidi ya Aigle Noir ya Burundi keshokutwa ili kuangalia nafasi ya kwenda Nusu Fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live