Sat, 23 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu za Namungo na Singida Big Stars ndio vinara wa kupiga mashuti (Mipira) ambayo haijalenga lango mpaka sasa baada ya michezo mitatu.
Timu hizo kila moja zimepiga mipira 26 ambayo haijalenga lango.
Namungo wamepiga mipira 13 iliyolenga lango na wamefanikiwa kufunga bao moja tu.Huku Singida wamepiga mipira 12 iliyolenga lango na wameambulia bao moja tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: