Wed, 3 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Namungo FC imefanikiwa kuivurumisha Kagera Sugar kwa mikwaju ya penalti, mchezo wa Kombe la Shirikisho uliopigwa jana Aprili 2, 2024.
Namungo FC imefanikiwa kuivurumisha Kagera Sugar kwa mikwaju ya penalti, mchezo wa Kombe la Shirikisho uliopigwa jana Aprili 2, 2024. Mchezo huo ni wa hatua ya 16 Bora na sasa Namungo amefanikiwa kusonga mbele hatua inayofuata. FT: Namungo FC 0-0 Kagera Sugar (penati 5-3).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live