Sun, 24 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa timu ya Taifa ya Ivory Coast Max-Alain Gradel (36) jana Machi 23 amecheza mechi yake ya mwisho akiwa na uzi wa Taifa hilo.
Alianza kuitumikia Ivory Coast tangu mwaka 2010 na sasa anastaafu soka lake la Kimataifa.
Captain amemwaga machozi, miaka 14 akiwa na uzi wa The Elephants ni thamani kubwa kwake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live