Thu, 21 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Yanga Nasreddine Nabi ameendelea kuonesha makali yake katika ligi kuu nchini Morocco baada ya kuiongoza AS FAR Rabat kushinda 3-1 dhidi ya Renaissance Zamamara.
AS FAR Rabat inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi 7 nyuma ya RS Berkane wenye pointi 09 katika mechi 03 zilizochezwa mpaka sasa.
Mechi 03 Ushindi 02 Droo 01 Pointi 07.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: