Sun, 13 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Yanga SC, Nasreddine Nabi amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara.
Nabi raia wa Tunisia amewashinda Mubiru Abdallah wa Mbeya City na Thiery Hitimana wa KMC alioingia nao fainali.
Yanga SC kwa mwezi Oktoba:-
✅ 2-1 vs Ruvu Shooting (A)
✅ 1-0 vs KMC (H)
✅ 1-0 vs Geita Gold (A)
✅ 1-1 vs Simba SC (H)
Sixtus Sabilo wa Mbeya City, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Oktoba 2022 katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live