Mon, 28 Sep 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Etienne Ndairagije anatarajiwa kukitangaza kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Oktoba 2, 2020.
Taifa Stars inajiwinda na mechi za kufuzu fainali za Kombe la Dunia la 2022, Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) na Fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) zitakazofanyika mwakani .
story by www.dimbani.co.tz
Chanzo: zanzibar24.co.tz