Tue, 30 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zikiwa zimebaki dakika chache kuelekea mtanange wa Ligi kuu baina ya Mbeya Kwanza na Yanga, tayari idadi kubwa ya mashaiki wameshajazana uwanjani kusubiri kipute.
Zikiwa zimebaki dakika chache kuelekea mtanange wa Ligi kuu baina ya Mbeya Kwanza na Yanga, tayari idadi kubwa ya mashaiki wameshajazana uwanjani kusubiri kipute. Yanga inaingia katika mchezo huo akiwa ndio kinara na ndio timu inayopewa nafasi ya kushinda kutokana na uzoefu wao, ubora wa wachezaji walionao nk.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live