Tue, 30 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dar Young Africans wanakwenda mapumziko vifua mbele wakiwa na uongozi wa magoli 2-0 dhidi ya wenyeji Mbeya Kwanza.
Magoli ya Yanga yamewekwa wavuni na Ntibazinkiza dakika ya 18 ya mchezo kwa mpira wa adhabu, na Fiston Mayele akimaliza kazi iliyofanya na Fesal Salum "fei toto".
Pengine dakika 45 za kipindi cha pili, Mbeya Kwanza wanaweza kubadili matokeo na kutoa sare ama kushinda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live