Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mechi ya raundi ya tisa ya Ligi ya NBC kati ya Simba SC na Namungo FC inaendelea na sasa ni mapumziko Namungo wakiwa mbele kwa goli 1-0.
Mechi ya raundi ya tisa ya Ligi ya NBC kati ya Simba SC na Namungo FC inaendelea na sasa ni mapumziko Namungo wakiwa mbele kwa goli 1-0. Goli hilo limewekwa kimiani na Reliants Lusajo dakika ya 29 ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live