Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa raundi ya nne kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Simba SC unaendelea katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya ambapo hadi mapumziko, Simba wanaongoza kwa goli 2-1.
Mchezo wa raundi ya nne kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Simba SC unaendelea katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya ambapo hadi mapumziko, Simba wanaongoza kwa goli 2-1. Goli la Prisons lilifungwa na Edwin Balua kabla Simba hawajasawazisha kupitia kwa Clatous Chama na kisha John Bocco kutupia la pili dakika ya 46 ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live