Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa NBC Primier Ligue kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba unaendelea na sasa ni mapumziko, Simba anaongoza kwa goli 1-0.
Goli hilo limefungwa na Kiungo Mshambuliaji Clatous Chama dakika ya 33 ya mchezo.
Tusubiri kipindi cha pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live