Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union na Yanga inaendelea usiku huu na mpaka sasa ni mapumziko wakiwa bilabila.
Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union na Yanga inaendelea usiku huu na mpaka sasa ni mapumziko wakiwa bilabila. Mechi inapigwa kwenye dimba la CCM Mkwakwani jijini Tanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live