Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika ya '42’ Simba SC wamepata penalti baada ya Deus Bukenya kumfanyia rafu Saido Ntibanzokiza ndani ya boksi.
Dakika ya '42’ Simba SC wamepata penalti baada ya Deus Bukenya kumfanyia rafu Saido Ntibanzokiza ndani ya boksi. 43’ GOOOAL Saido Ntibanzokiza anaiandikia Simba SC bao la uongozi dhidi ya Wanankurukumbi katika dimba la Uhuru, Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live