Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Oktoba 27, 2023 kwa mechi tatu, kubwa kuliko ni mtanange kati ya Wananchi, Young Africans SC dhidi ya Wakulima wa Alizeti, Singida Fontaine Gate FC utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa.
Azam FC watakuwa wenyeji wa Wauaji wa Kusini, Namungo FC katika dimba la Azam Complex, Chamazi huku Wajelajela, Tanzania Prisons wakiwa wageni wa Wakusanya Ushindi wa Dar, 'Kinoboys'.
16:00 || KMC FC vs Tanzania Prisons
Uwanja wa Uhuru
18:15 || Yanga SC vs Singida Fountain
Uwanja wa Benjamin Mkapa
20:30 || Azam FC VS Namungo FC
Uwanja wa Chamazi Complex.