Wed, 23 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga tayari Kimewasili katika Uwanja wa Manungu Mkoani Morogoro watakaposhuka dimbani muda mchache ujo kuvaana na wenyeji Mtibwa Sugar.
Huu ni mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa 15, huku Yanga wakiwa kileleni wanaogoza msimamo wa Ligi kwa alama zao 36.
Tazama Kikosi cha Yanga kikiwasili Manungu;
Kikosi kimeshawasili Uwanja wa Manungu.#timuyawananchi #daimambelenyumamwiko pic.twitter.com/SXoiNF1Jng
— Young Africans SC (@yangasc1935) February 23, 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live