Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Goli la Mkwaju wa penati lililowekwa kimiani na Saido Ntibazonkiza linawapa uongozi Yanga mpaka sasa ikiwa ni dakika ya 80 ya mchezo'
Yanga wanaongoza kwa magoli 2-1 baada ya lile la kusawazisha la Straika hatari Fiston Mayele.
Goli la kuongoza la Biashara United limefungwa na Atupele Green dakika ya pili ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live