Sun, 5 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
KMC wamefanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo wao wa mzunguko wa nane dhidi ya Geita Gold.
#NBCPL Goli la Abdulrazack Hamza akiwaweka mbele KMC.
— Azam TV (@azamtvtz) December 5, 2021
50: KMC 1-0 Geita Gold.
LIVE #AzamSports2HD #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #KMCvsGeitaGold #KMC #GeitaGold pic.twitter.com/Su7JMdFuKX
#NBCPL Chuma cha pili kwa KMC kutoka kwa Matheo Anthony.
— Azam TV (@azamtvtz) December 5, 2021
80: KMC 2-0 Geita Gold.
LIVE #AzamSports2HD #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #KMCvsGeitaGold #KMC #GeitaGold #CoastalUnion #MbeyaKwanza pic.twitter.com/a39YbDaLsk
Chanzo: www.tanzaniaweb.live