Sun, 10 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za Kipindi cha Kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Ushirika Moshi huku kila timu ikiwa haijafanikiwa kuliona lango la mwenzake.
Polisi Tanzania wamekosa utulivu licha ya kucheza vyema katika dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Timu zote zinashambuliana kwa zamu licha ya golikipa Beno Kakolanya kuonekana kulilinda vyema lango la Simba SC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live