Wed, 23 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kitashuka Manungu kuwakabili Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Manungu Mkoani Morogoro saa 10:00 jioni.
Yanga watawakosa wachezaji wake nane katika mchezo huo kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo adhabu na majeraha.
Taama hapa chini orodha ya wachezaji watakaokosekana katika mchezo wa leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live