Wed, 22 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Michezo miwili ya Ligi Kuu Bara imekamilika ambapo katika mchezo wa kwanza kule Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi, umeshuhudia wenyeji Namungo wakikubali kichapo cha magoli 2-1 kutoka kwa Dodoma Jiji.
Katika mchezo mwingine uliopigwa siku ya leo, Kagera Sugar wamepokea kichapo cha magoli 2-0 kutok kwa Mbeya Kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live