Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kimewasili uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga tayari kabisa kwa mpambano dhidi ya maafande wa Prisons.
Mchezo wa Ligi Kuu Bara Raundi ya Tisa.
Tazama picha hapa chini uone kikosi cha Yanga kilivyowasili;
Kikosi kimeshawasili kwenye Dimba la Nelson Mandela ????#thereturnofchampions #theclubaboveall#NBCPreamierLeague #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko pic.twitter.com/Z9xue6PD45
— Young Africans SC (@yangasc1935) December 19, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live