Fri, 24 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika Kibu Denis anazidi kumng'arisha mnyama ndani ya Ali Hassan Mwinyi, Kibu anafunga bao lake la pili katika mchezo huu na la nne kwa upande wa Simba.
Straika Kibu Denis anazidi kumng'arisha mnyama ndani ya Ali Hassan Mwinyi, Kibu anafunga bao lake la pili katika mchezo huu na la nne kwa upande wa Simba. Simba wanazidi kujizatiti kuwafukuza Yanga waliopo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live